Alhamisi, 3 Agosti 2017
JE WEWE NI NANI?-3
Tanzania Conservatives
Agosti 03, 2017
1 comment
D
Hila na dhuluma dhidi ya mtu mweusi-3a
Jambo kubwa lililofanyika na Warumi ni kufuta makumbusho ya kihistoria ya
mtu mweusi, mfano iliyokuwa ngome ya Chifu Mkwawa wa Wahehe ambaye alikuwa na
asili ya Kiisraeli, msomi wa kubobea shujaa wa Afrika aliyekuwa na lengo kubwa
la kujenga utawala mkubwa kama ule wa Kongo na Zimbabwe huko kusini akiangalia
historia ya Kilwa na ndoto kubwa ya kurudisha Ufalme ule kwa njia mpya (pengine
ndio Tanganyika). Ngome ya Mkwawa ilivunjwa kabisa na masalia yake
yakatokomezwa kabisa vito na vitu vya kihistoria pale vikaibwa; historia
inatuambia kuwa ngome ile ilikuwa ikipigwa mabomu kwa siku nne mfululizo. Kuna nadhari
zinasema kwa Chifu Mkwawa hakuwa amejiua, alifanikiwa kutoroka na alienda
kuishi maisha ya kawaida kwa kujificha dhidi ya Wajerumani.
Jumatano, 2 Agosti 2017
JE WEWE NI NANI?-2d
Tanzania Conservatives
Agosti 02, 2017
No comments
Wewe kama Mwafrika-2d
Warada (Radanites) mwaka 1850, hawa walikuwa Waisraeli ambao
alikuwa wakifanya biashara duniani kote na mwishoni kukaa magharibi mwa Afrika,
huko Timbuktu. Na hawa Warada ni watu weusi kabisa, na kuna mbinu za kufanya
upotoshaji na wengine wanawaita Waarabu weusi, jambo aambalo ni uongo mkubwa na
wanazuoni wanajua kwa hoja kuwa wale ni Waisraeli. Watu wa Ghana na Ivory Coast
(Ashanti Isralites) ni watu wa
iliyokuwa “Ashanti Empire”, ambapo
watu wa Ashanti
Jumanne, 1 Agosti 2017
Je wewe ni nani?-2c
Tanzania Conservatives
Agosti 01, 2017
2 comments
Wewe kama Mwafrika-2c
Mwaka 995 KK, Ethiopia: mfalme Sulemani
na Makeda Bilqis (malkia wa Sheba)
wakuwa na mahusiano na walizaa mtoto wa kiume aliyeitwa Meneleki I, ambaye alianzisha utawala wa kinasaba na wa Mfalme
Sulemani zaidi ya miaka 3000 iliyopita (1000KK) ambapo walikuwa wana tamaduni
za Kiyahudi na mfumo wa utawala wao, historia inatuambia
Popular Post
-
Uhafidhina Ni falsafa ya kisiasa inayolenga kulinda, kusimamia na kufuata mila, desturi na taratibu za jamii au taifa fulani. ...
-
Wewe kama Mwafrika-2c Mwaka 995 KK, Ethiopia: mfalme Sulemani na Makeda Bilqis (malkia wa Sheba) wakuwa na mahusiano na walizaa ...
-
Upande wa Kusini wa Afrika inajulikana kwa jina maarufu kama Afrika ya Juu. Ukisoma kwenye maandiko na vitabu mbalimbali vya kihistoria wa...